Jumapili, 25 Mei 2014

MTAZANE HAPAA WEMA


Ni mwigizaji staa wa Tanzania ambae kabla ya kukutana na Marehemu Steven Kanumba hakuwahi kuwaza kama angekuja kufanya uigizaji kwa kiwango hiki. Baada ya umaarufu wake staa huyu ametokea kwenye vyombo mbalimbali vya habari yakiwemo Majarida ambapo hii video yake fupi ya insta hapa chini ni ya jarida la Vibe Magazine Tanzania.


http://instagram.com/p/ob33C7tPWN/


Hakuna maoni:

Chapisha Maoni